Mugasha, A.G.; Kanuya, N.L.; Chamshama, S.A
(SUA TARP II, 2004)
Idadi ya ng'ombe Tanzania inakisiwa kufikia millioni 17.7 ambao wengi wao ni ngombe wa kienyeji aina ya "zebu". Idadi ya ng'ombe wa kisasa wa maziwa au machotara yao
na ng'ombe wa kienyeji ni kama nusu millioni tu. Ingawa ...